LIVE:IGP SIMMON SIRO KWA MARA YA KWANZA LEO AKIONGEA NA WA ANDISHI WA HABARI NAKUTANGAZA DAU LA MILIONI 10

“Niwaambie ukweli kuwa katika hili, maneno yatakuwa machache lakini vitendo vitakuwa vingi zaidi,” amesema katika mkutano huo.
Pia IGP Sirro amewatangazia kiama madereva wa bodaboda na kuwataka kuacha kuvunja sheria za barabarani kwa makusudi.
“Huu ni wakati wa kutii utawala wa sheria bila shuruti na nimeshaongea na makamanda wa polisi nchi nzima,” amesema
==>Msikilize hapo chini akiongea
Hakuna maoni: